• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

CSR YAIGUSA JESHI LA POLISI NA UHAMIAJI MTWARA

Posted on: April 4th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanali Patrick Sawala leo tarehe 04 Aprili 2025 amekabidhi vitendea kazi kwa Jeshi la polisi na Idara ya Uhamiaji ambavyo vimetolewa na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) pamoja na Taasisi ya Search for common ground.

“TPDC wamekuwa na utaratibu mzuri wa kurudisha kwa jamii kile wanachokipata (CSR), kwa Jeshi letu la polisi walijenga kituo pale Msimbati, ilibakia samani ili kianze kufanya kazi. Nimshukuru Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa nishati, Mhe. Dotto Biteko kwa maelekezo yake na sasa yamefanyiwa kazi.” Alieleza Kanali Sawala

RC Sawala ameishukuru Taasisi ya Search for common ground kupitia mradi wake wa “Daraja la Amani” wenye lengo la kuimarisha biashara zinazovuka mipakani sambamba na kuimarisha maendeleo katika jamii za mipakani.

“Nimshukuru Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kusimamia maboresho ya Jeshi la Polisi katika nyanja zote, pia niwashukuru TPDC kwa ufadhili wao kwani kabla ya ya ufadhili huu wa vifaa vya leo tayari wametujengea kituo chenye thamani ya zaidi ya Milioni 186 na wametuahidi kutijengea nyumba ya Mkuu wa kituo na za askari, hii itakuwa chachu ya utendaji wetu sisi polisi pale Msimbati.” Alieleza SACP Issa Selemani, Kamanda wa Polisi mkoa wa Mtwara.

Kwa upande mwingine Mkuu wa Mkoa wa Mtwara amewataka Wakuu wa wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri kushirikiana vema na vyombo vyote vya ulinzi na usalama ili waweze kuhakikisha wananchi wanafanya shughuli za kimaendelea katika mazingira rafiki.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU 2025 KUPOKELEWA MKOANI MTWARA MEI 17

    May 15, 2025
  • MTWARA TUKO TAYARI KUUPOKEA NA KUUKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025

    May 14, 2025
  • UFUTA NA MBAAZI KUPIMWA KIDIGITALI MKULIMA KUPATA RISTI KUPITIA SIMU YAKE

    May 14, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE. KANALI PATRICK SAWA AKAGUA MRADI WA MAENDELEO TANDAHIMBA

    May 05, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.