• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Wilaya ya Masasi

Wilaya ya Masasi ina ukubwa wa kilometa za Mraba 442,819 sawa na asilimia 23 ya eneo lote la Mkoa wa Mtwara. Inazo Halmashauri mbili. Halmashauri ya Wilaya ya Masasi na Halmashauri ya Mji wa Masasi. Inayo Majimbo matatu ya Uchaguzi ambayo ni jimbo la Masasi, Jimbo la Lulindi na Jimbo la Ndanda.

Kwa mjibu wa sensa ya watu na Makazi ya mwaka 2012, Wilaya ina jumla ya wakazi 377,826 ambapo Halmashauri ya Mji ina wakazi 102,696 na Halmashauri ya Wilaya ina wakazi 275,130. Ongezeko la watu ni 2.7% kwa mwaka.

Wilaya ipo kati ya Longitudo 360 na 380 Mashariki mwa Greenwich na Latitude 100 na 120 Kusini mwa Ikweta . Wilaya inapakana na Wilaya ya Nachingwea kwa upande wa Kaskazini, Wilaya ya Lindi na Newala upande wa Mashariki, Wilaya ya Nanyumbu upande wa Magharibi na Mto Ruvuma upande wa Kusini.

Hali ya hewa ya Wilaya ni joto na baridi kiasi. Miezi ya joto ni Septemba hadi Mei na vipindi vya baridi ni Agosti. Mvua huanza kunyesha mwezi Desemba mpaka Aprili na masika Januari hadi Machi. Wilaya inapata mvua kiasi cha wastani wa mm 893 kwa mwaka na wastani wa joto ni nyuzi joto 250C na kiasi cha juu ni nyuzi joto 320C na kiasi cha chini ni nyuzi joto 220C. pia Wilaya ipo kwenye mwinuko wa Mita 470 toka usawa wa bahari

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • "JUNI 30, 2025 TUTAKUWA TUMEKAMILISHA MIRADI YOTE YA MAENDELEO" - KANALI SAWALA

    June 13, 2025
  • MIRADI YETU INAKIDHI VIGEZO VYA UBORA - KANALI SAWALA

    June 11, 2025
  • VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA MTWARA KUBORESHA ELIMU

    June 09, 2025
  • ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA SEKTA YA ELIMU

    June 10, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.