• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Huduma za Afya

Mkoa wa Mtwara una Hospitali za Rufaa za Mkoa 2 (Ligula na Ndanda) na Hospitali ya Kanda ambayo ujenzi wa jengo la OPD lenye ghorofa mbili uko kwenye hatua ya umaliziaji.

Hospitali zipo 6 ambapo kati ya hizo Hospitali za wilaya ni 4 zote zikiwa ni za serikali. Jumla ya zahanati zilizopo ni 205 (181 za Serikali) sawa na 34% ya mahitaji ya zahanati katika mkoa. Vituo vya Afya vipo 21 (15 vya Serikali) sawa na 11.9% ya mahitaji. Vituo vya afya 9 vinafanya upasuaji wa dharura.

Zipo changamoto mbalimbali ambazo mkoa unakabiliana nazo. Taarifa kamili ya mkoa hii hapa Taarifa ya utekelezaji wa huduma za afya ustawi wa jamii na lishe_2016.pdf


HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA, LIGULA

Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara (Ligula) ilifunguliwa rasmi tarehe 14/10/1964 na Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Hospitali hii ilianza na majengo machache yaliyokuwa karibu na mapokezi ya sasa. Wodi ya zamani ya wazazi “Frelimo” ilikuwa ni hospitali ya majeruhi wa chama cha Frelimo ikijulikana kwa jina la “Americo Boavida Hospital”. Kwa sasa wodi hii inafanyiwa ukarabati kwa kushirikiana na Chuo cha Uuguzi Mtwara kutokana na ubovu wa jingo, hivyo jengo jipya la wodi ya wazazi lililojengwa kwa msaada wa shirika la maendeleo la ujerumani (GIZ) ndio linatumia kwa huduma za uzazi. Taarifa kamili ya Hospitali hii hapa TAARIFA FUPI YA HOSPITALI.pdf


KUFANYA MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19 (Ugonjwa wa Mlipuko) BOFYAHAPA https://chanjocovid.moh.go.tz/#/


Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2022 November 24, 2021
  • Majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo February 09, 2018
  • KUFANYA MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19 August 30, 2021
  • Matokeo ya Kidato cha NNe 2017 January 30, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MKUU WA MKOA KUTILIA MKAZO ELIMU NA UKUSANYAJI MAPATO

    August 04, 2022
  • Zingatieni Sheria ya Mazingira. ‘’Jafo’’

    December 20, 2021
  • BILIONI 268 KUMALIZIA BARABARA YA MTWARA – NEWALA HADI MASASI KWA KIWANGO CHA LAMI

    November 25, 2021
  • BANDARI YA MTWARA KUPOKEA MELI KUBWA NA KUSAFIRISHA MAKAA YA MAWE KWENDA NJE YA NCHI.

    November 01, 2021
  • Tazama Zote

Video

Wakulima Mtwara wachangamkia kilimo cha Ufuta
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • NBS
  • IKULU
  • UTUMISHI
  • SALARY SLIP
  • e-GA

Kurasa Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.