• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Wilaya ya Tandahimba

Wilaya ya Tandahimba inapakana na Wilaya ya Newala kwa upande wa magharibi, Wilaya ya Mtwara upande wa mashariki, Mkoa  wa Lindi upande wa Kaskazini  na Mto Ruvuma upande wa Kusini ambao ni mpaka Rasmi  na nchi ya Msumbijji.

Wilaya ina eneo la kilomita za mraba 1,673,31. Kati ya hizo kilomita za mraba 1,573,04 zinafaa kwa kilimo na ufugaji.

Wilaya ina miji midogo miwili ya Tandahimba na Mahuta, Tarafa 3 za Litehu, Namikupa na Mahuta, Kata 32, Vijiji 143, Vitongozji 654 na Jimbo moja la uchaguzi.

Kwa mjibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 wilaya ilikuwa na wakazi 2227,901 (wanawake 130,456 na wanaume 112,445). Kati ya watu wote, wilaya inakadiriwa kuwa na nguvu kazi ya wananchi 87,777 (wanawake 50,079 na wanaume 37,698).

Wastani wa pato la wilaya (GDP-Provisional) kwa mwaka 2015/2016 ilikuwa ni Bilioni 134.42 na katika kipindi cha 2016/2017 pato la wilaya limeongezeka hadi kufikia Bilioni 280.41 kutokana na uzalishaji wa mazao ya biashara hasa korosho pamoja na mzunguko wa fedha za wananchi.

Wastani wa Pato la mwananchi kwa mwaka wa fedha 2015/2016 katika wilaya lilikuwa shilingi (GDP 563,312/= Per Capital Income). Katika kipindi cha mwaka 2017/2018 pato la mwananchi linakadiriwa kufikia shilingi 1,154,440.2 kutokana na uzalishaji wa korosho



Matangazo

  • Majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo February 09, 2018
  • Matokeo ya Kidato cha NNe 2017 January 30, 2018
  • Mpangilio wa halmashauri /manispaa kwa ubora wa ufaulu katika mtihani wa kidato cha Nne (CSEE) 2017 February 06, 2018
  • Mpangilio wa mikoa kwa ubora wa ufaulu katika mtihani wa kidato cha Nne (CSEE) 2017 February 06, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Maafisa Tarafa wakabidhiwa Pikipiki Mtwara

    May 18, 2020
  • RC Mtwara amlilia DC Mmanda

    April 27, 2020
  • Watanzania washauriwa kuwekeza kwenye kutengeneza Barakoa

    April 17, 2020
  • CRDB waongeza nguvu mapambano ya CORONA Mtwara

    April 16, 2020
  • Tazama Zote

Video

C Byakanwa apiga marufuku mahindi ya kuchoma. awataka wananchi kutunza chakula
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Investment Projects
  • Tazama matangazo ya TBC1 Mubashara Hapa

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.