• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Kampeni ya upimaji wa virusi vya UKIMWI mkoani Mtwara yazinduliwa

Posted on: August 16th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Evod Mmanda leo August 16, 2018 amezindua rasmi kampeni ya upimaji wa maambukizi ya UKIMWI kwa wananchi waishio Mkoani Mtwara.

Kampeni hiyo ambayo inasimamiwa na Taasisi ya Benjamin Mkapa Foundation ina lengo la kuhamasisha wananchi waishio Manispaa ya Mtwara-Mikindani pamoja na wale waishio Halmashauri ya Mji wa Masasi hususani wanaume kujitokeza kwenye upimaji wa virusi vya UKIMWI na kuanza kutumia dawa za kufubaza makali ya virusi kwa wale wote watakaokutwa na maambukizi.

Pamoja na upimaji wa virusi vya UKIMWI kutakuwana upimaji wa magonjwa mengine kama Malaria, shinikizo la damu, sukari namagonjwa mengine.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa program hiyoinayoenda na kaulimbiu isemayo "FURAHA YANGU, PIMA, JITAMBUE, ISHI" Mkuuwa Wilaya ya Mtwara Mheshimiwa Mmanda ametoa wito kwa wananchi wote kujitokezakwa wingi kwenye upimaji ili kutambua afya zao na kuchukua hatua.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2019 December 15, 2018
  • Majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo February 09, 2018
  • Matokeo ya Kidato cha NNe 2017 January 30, 2018
  • Mpangilio wa halmashauri /manispaa kwa ubora wa ufaulu katika mtihani wa kidato cha Nne (CSEE) 2017 February 06, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Fukwe ya Msangamkuu Ifunguwe fursa ya Utalii Mtwara

    February 14, 2019
  • DC wa kikoloni Asimulia wakoloni walivyochemka ujenzi Bandari ya Mtwara

    February 06, 2019
  • Wawekezaji wa korosho waendelea kujitokeza Mtwara

    February 04, 2019
  • RC Mtwara awataka wadau kukamilisha ahadi ya ujenzi wa madarasa

    January 30, 2019
  • Tazama Zote

Video

ZOezi la Serikali Kununua korosho linaenda vizuri - Waziri
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Investment Projects
  • Tazama matangazo ya TBC1 Mubashara Hapa

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.