• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Huduma za Afya

Mkoa wa Mtwara una Hospitali za Rufaa za Mkoa 2 (Ligula na Ndanda) na Hospitali ya Kanda ambayo ujenzi wa jengo la OPD lenye ghorofa mbili uko kwenye hatua ya umaliziaji.

Hospitali zipo 6 ambapo kati ya hizo Hospitali za wilaya ni 4 zote zikiwa ni za serikali. Jumla ya zahanati zilizopo ni 205 (181 za Serikali) sawa na 34% ya mahitaji ya zahanati katika mkoa. Vituo vya Afya vipo 21 (15 vya Serikali) sawa na 11.9% ya mahitaji. Vituo vya afya 9 vinafanya upasuaji wa dharura.

Zipo changamoto mbalimbali ambazo mkoa unakabiliana nazo. Taarifa kamili ya mkoa hii hapa Taarifa ya utekelezaji wa huduma za afya ustawi wa jamii na lishe_2016.pdf


HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA, LIGULA

Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara (Ligula) ilifunguliwa rasmi tarehe 14/10/1964 na Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Hospitali hii ilianza na majengo machache yaliyokuwa karibu na mapokezi ya sasa. Wodi ya zamani ya wazazi “Frelimo” ilikuwa ni hospitali ya majeruhi wa chama cha Frelimo ikijulikana kwa jina la “Americo Boavida Hospital”. Kwa sasa wodi hii inafanyiwa ukarabati kwa kushirikiana na Chuo cha Uuguzi Mtwara kutokana na ubovu wa jingo, hivyo jengo jipya la wodi ya wazazi lililojengwa kwa msaada wa shirika la maendeleo la ujerumani (GIZ) ndio linatumia kwa huduma za uzazi. Taarifa kamili ya Hospitali hii hapa TAARIFA FUPI YA HOSPITALI.pdf


Matangazo

  • Majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo February 09, 2018
  • Matokeo ya Kidato cha NNe 2017 January 30, 2018
  • Mpangilio wa halmashauri /manispaa kwa ubora wa ufaulu katika mtihani wa kidato cha Nne (CSEE) 2017 February 06, 2018
  • Mpangilio wa mikoa kwa ubora wa ufaulu katika mtihani wa kidato cha Nne (CSEE) 2017 February 06, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Maafisa Tarafa wakabidhiwa Pikipiki Mtwara

    May 18, 2020
  • RC Mtwara amlilia DC Mmanda

    April 27, 2020
  • Watanzania washauriwa kuwekeza kwenye kutengeneza Barakoa

    April 17, 2020
  • CRDB waongeza nguvu mapambano ya CORONA Mtwara

    April 16, 2020
  • Tazama Zote

Video

C Byakanwa apiga marufuku mahindi ya kuchoma. awataka wananchi kutunza chakula
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Investment Projects
  • Tazama matangazo ya TBC1 Mubashara Hapa

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.